Waefeso 2:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Wakati huo hamkuwa na Kristo, mlikuwa mmetengwa na taifa la Israeli, mlikuwa wageni kwa maagano ya ahadi;+ hamkuwa na tumaini na mlikuwa bila Mungu katika ulimwengu.+
12 Wakati huo hamkuwa na Kristo, mlikuwa mmetengwa na taifa la Israeli, mlikuwa wageni kwa maagano ya ahadi;+ hamkuwa na tumaini na mlikuwa bila Mungu katika ulimwengu.+