Isaya 28:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: “Tazama, ninaweka jiwe lililojaribiwa liwe msingi katika Sayuni,+Jiwe la pembeni lenye thamani+ la msingi imara.+ Hakuna yeyote anayeonyesha imani atakayeshikwa na wasiwasi.+
16 Kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: “Tazama, ninaweka jiwe lililojaribiwa liwe msingi katika Sayuni,+Jiwe la pembeni lenye thamani+ la msingi imara.+ Hakuna yeyote anayeonyesha imani atakayeshikwa na wasiwasi.+