34 Kwa kweli, hakuna yeyote kati yao aliyekuwa na uhitaji,+ kwa maana wote waliokuwa na mashamba au nyumba walikuwa wakiuza na kuleta thamani ya kile walichouza, 35 na kukiweka miguuni pa mitume.+ Kisha kila mmoja aligawiwa kulingana na uhitaji wake.+