Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 19:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Yesu akamwambia: “Ikiwa unataka kuwa mkamilifu,* nenda ukauze mali zako na uwape maskini, nawe utakuwa na hazina mbinguni;+ kisha uje uwe mfuasi wangu.”+

  • Luka 18:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Baada ya kusikia hilo, Yesu akamwambia, “Bado kuna jambo unalokosa: Uza kila kitu ulicho nacho na uwagawie maskini pesa hizo, nawe utakuwa na hazina mbinguni; kisha uje uwe mfuasi wangu.”+

  • Matendo 2:45
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 45 nao walikuwa wakiuza mali zao+ na vitu walivyomiliki na kuwagawia wote pesa walizopata, kulingana na uhitaji wa kila mtu.+

  • Matendo 4:34, 35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Kwa kweli, hakuna yeyote kati yao aliyekuwa na uhitaji,+ kwa maana wote waliokuwa na mashamba au nyumba walikuwa wakiuza na kuleta thamani ya kile walichouza, 35 na kukiweka miguuni pa mitume.+ Kisha kila mmoja aligawiwa kulingana na uhitaji wake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki