33 Uzeni mali zenu na kutoa zawadi za rehema.*+ Tengenezeni mikoba ya pesa isiyochakaa, hazina isiyopungua huko mbinguni,+ ambako mwizi hawezi kufika wala nondo* hali.
22 Baada ya kusikia hilo, Yesu akamwambia, “Bado kuna jambo unalokosa: Uza kila kitu ulicho nacho na uwagawie maskini pesa hizo, nawe utakuwa na hazina mbinguni; kisha uje uwe mfuasi wangu.”+