32 Isitoshe, umati uliokuwa umeamini ulikuwa na moyo na nafsi* moja, na hakuna hata mmoja wao aliyeona vitu vyake kuwa mali yake mwenyewe, bali walishiriki pamoja vitu vyote walivyokuwa navyo.+
34 Kwa kweli, hakuna yeyote kati yao aliyekuwa na uhitaji,+ kwa maana wote waliokuwa na mashamba au nyumba walikuwa wakiuza na kuleta thamani ya kile walichouza,