Mathayo 6:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Kwa maana mkiwasamehe watu makosa yao, Baba yenu wa mbinguni atawasamehe ninyi pia;+ Mathayo 18:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Je, hukupaswa pia kumwonyesha rehema mtumwa mwenzako kama nilivyokuonyesha rehema?’+ Yakobo 2:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa maana yule asiye na mazoea ya kuonyesha rehema atahukumiwa bila rehema.+ Rehema hushinda hukumu.
13 Kwa maana yule asiye na mazoea ya kuonyesha rehema atahukumiwa bila rehema.+ Rehema hushinda hukumu.