Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 55:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Mtu mwovu na aiache njia yake+

      Na mtu mbaya mawazo yake;

      Na arudi kwa Yehova, ambaye atamwonyesha rehema,+

      Kwa Mungu wetu, kwa maana atasamehe kwa njia kubwa.*+

  • Mathayo 6:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 na utusamehe madeni yetu, kama vile tunavyowasamehe wadeni wetu.+

  • Mathayo 7:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Basi, mambo yote mnayotaka watu wawatendee ninyi, lazima ninyi pia mwatendee vivyo hivyo.+ Kwa kweli, hiyo ndiyo maana ya Sheria na Manabii.+

  • Yakobo 2:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa maana yule asiye na mazoea ya kuonyesha rehema atahukumiwa bila rehema.+ Rehema hushinda hukumu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki