Methali 21:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Yeyote anayeziba sikio lake asisikie kilio cha mtu wa hali ya chiniYeye mwenyewe ataita naye hatajibiwa.+ Mathayo 5:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “Wenye furaha ni wale wenye rehema,+ kwa kuwa wataonyeshwa rehema. Mathayo 6:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 lakini msipowasamehe watu makosa yao, naye Baba yenu hatawasamehe makosa yenu.+ Luka 6:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Endeleeni kuwa wenye rehema, kama Baba yenu alivyo mwenye rehema.+
13 Yeyote anayeziba sikio lake asisikie kilio cha mtu wa hali ya chiniYeye mwenyewe ataita naye hatajibiwa.+