Mathayo 5:48 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 Basi lazima muwe wakamilifu* kama Baba yenu wa mbinguni alivyo mkamilifu.+ Waefeso 5:1, 2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa hiyo, iweni waigaji wa Mungu,+ kama watoto wapendwa, 2 na mwendelee kutembea katika upendo,+ kama vile Kristo pia alivyotupenda sisi*+ na kujitoa mwenyewe kwa ajili yetu* kuwa toleo na dhabihu yenye harufu tamu kwa Mungu.+ Yakobo 2:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa maana yule asiye na mazoea ya kuonyesha rehema atahukumiwa bila rehema.+ Rehema hushinda hukumu.
5 Kwa hiyo, iweni waigaji wa Mungu,+ kama watoto wapendwa, 2 na mwendelee kutembea katika upendo,+ kama vile Kristo pia alivyotupenda sisi*+ na kujitoa mwenyewe kwa ajili yetu* kuwa toleo na dhabihu yenye harufu tamu kwa Mungu.+
13 Kwa maana yule asiye na mazoea ya kuonyesha rehema atahukumiwa bila rehema.+ Rehema hushinda hukumu.