Mambo ya Walawi 19:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Waambie hivi Waisraeli wote: ‘Mnapaswa kuwa watakatifu, kwa sababu mimi, Yehova Mungu wenu, ni mtakatifu.+ Kumbukumbu la Torati 18:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mnapaswa kudhihirisha kwamba hamna lawama mbele za Yehova Mungu wenu.+ Luka 6:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Endeleeni kuwa wenye rehema, kama Baba yenu alivyo mwenye rehema.+ 1 Petro 1:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 kwa maana imeandikwa: “Lazima muwe watakatifu, kwa sababu mimi ni mtakatifu.”+
2 “Waambie hivi Waisraeli wote: ‘Mnapaswa kuwa watakatifu, kwa sababu mimi, Yehova Mungu wenu, ni mtakatifu.+