Mathayo 5:48 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 Basi lazima muwe wakamilifu* kama Baba yenu wa mbinguni alivyo mkamilifu.+ 2 Petro 3:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa hiyo, wapendwa, kwa kuwa mnangojea mambo hayo, fanyeni yote mnayoweza ili mwishowe awapate mkiwa bila doa wala dosari na mkiwa katika amani.+
14 Kwa hiyo, wapendwa, kwa kuwa mnangojea mambo hayo, fanyeni yote mnayoweza ili mwishowe awapate mkiwa bila doa wala dosari na mkiwa katika amani.+