Zaburi 41:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Mwenye furaha ni mtu yeyote anayemjali mtu wa hali ya chini;+Yehova atamwokoa siku ya msiba. Zaburi 112:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Amegawa kwa wingi;* amewapa maskini.+ צ [Tsade] Uadilifu wake unadumu milele.+ ק [Qoph] Nguvu zake mwenyewe zitakwezwa* kwa utukufu. Methali 19:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Anayemwonyesha kibali mtu wa hali ya chini anamkopesha Yehova,+Naye Atamlipa* kwa anayotenda.+ Methali 22:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mtu mkarimu* atabarikiwa,Kwa maana chakula chake humgawia maskini.+
9 Amegawa kwa wingi;* amewapa maskini.+ צ [Tsade] Uadilifu wake unadumu milele.+ ק [Qoph] Nguvu zake mwenyewe zitakwezwa* kwa utukufu.