Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 41:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 41 Mwenye furaha ni mtu yeyote anayemjali mtu wa hali ya chini;+

      Yehova atamwokoa siku ya msiba.

  • Zaburi 112:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Amegawa kwa wingi;* amewapa maskini.+

      צ [Tsade]

      Uadilifu wake unadumu milele.+

      ק [Qoph]

      Nguvu zake mwenyewe zitakwezwa* kwa utukufu.

  • Methali 19:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Anayemwonyesha kibali mtu wa hali ya chini anamkopesha Yehova,+

      Naye Atamlipa* kwa anayotenda.+

  • Methali 22:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Mtu mkarimu* atabarikiwa,

      Kwa maana chakula chake humgawia maskini.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki