Mambo ya Walawi 23:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 “‘Na wakati mnapovuna mavuno ya nchi yenu, hutamaliza kabisa ukingo wa shamba lako unapovuna, na masalio ya mavuno yako hutaokota.+ Utayaacha kwa ajili ya watu wenye kuteseka+ na mkaaji mgeni.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu.’”
22 “‘Na wakati mnapovuna mavuno ya nchi yenu, hutamaliza kabisa ukingo wa shamba lako unapovuna, na masalio ya mavuno yako hutaokota.+ Utayaacha kwa ajili ya watu wenye kuteseka+ na mkaaji mgeni.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu.’”