Mambo ya Walawi 19:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 “‘Na ikiwa mkaaji mgeni anakaa pamoja nawe akiwa mgeni katika nchi yenu, msimtendee vibaya.+ Hesabu 15:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ninyi mlio wa kutaniko na yule mkaaji mgeni anayekaa akiwa mgeni mtakuwa na sheria moja.+ Itakuwa sheria mpaka wakati usio na kipimo kwa ajili ya vizazi vyenu. Mkaaji mgeni atakuwa sawa nanyi mbele za Yehova.+
15 Ninyi mlio wa kutaniko na yule mkaaji mgeni anayekaa akiwa mgeni mtakuwa na sheria moja.+ Itakuwa sheria mpaka wakati usio na kipimo kwa ajili ya vizazi vyenu. Mkaaji mgeni atakuwa sawa nanyi mbele za Yehova.+