Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 19:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Yule mkaaji mgeni anayekaa akiwa mgeni pamoja nanyi atakuwa kwenu kama mwenyeji wenu; nawe utampenda kama wewe mwenyewe,+ kwa maana mlikuwa wakaaji wageni katika nchi ya Misri.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu.

  • Mambo ya Walawi 20:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Utawaambia wana wa Israeli, ‘Mtu yeyote wa wana wa Israeli, na mkaaji mgeni yeyote anayekaa akiwa mgeni katika Israeli, anayempa Moleki+ yeyote kati ya uzao wake, lazima auawe. Watu wa nchi watampiga kwa mawe mpaka afe.

  • Mambo ya Walawi 24:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kwa hiyo lazima yule mtukanaji wa jina la Yehova auawe.+ Lazima kusanyiko lote limpige kwa mawe. Mkaaji mgeni hali kadhalika mwenyeji atauawa kwa kulitukana lile Jina.+

  • Waroma 3:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Au je, yeye ni Mungu wa Wayahudi peke yao?+ Je, yeye si wa watu wa mataifa pia?+ Ndiyo, wa watu wa mataifa pia,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki