Mambo ya Walawi 18:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 “‘Nawe usiuruhusu uzao wako wowote utolewe+ kwa Moleki.+ Usilitie unajisi+ jina la Mungu wako kwa njia hiyo. Mimi ni Yehova.+ Kumbukumbu la Torati 18:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Asipatikane ndani yako yeyote anayempitisha mwana wake au binti yake katikati ya moto,+ yeyote anayefanya uaguzi,+ mwenye kufanya uchawi+ au yeyote anayetafuta ishara za bahati+ au mlozi,+
21 “‘Nawe usiuruhusu uzao wako wowote utolewe+ kwa Moleki.+ Usilitie unajisi+ jina la Mungu wako kwa njia hiyo. Mimi ni Yehova.+
10 Asipatikane ndani yako yeyote anayempitisha mwana wake au binti yake katikati ya moto,+ yeyote anayefanya uaguzi,+ mwenye kufanya uchawi+ au yeyote anayetafuta ishara za bahati+ au mlozi,+