2 “Utawaambia wana wa Israeli, ‘Mtu yeyote wa wana wa Israeli, na mkaaji mgeni yeyote anayekaa akiwa mgeni katika Israeli, anayempa Moleki+ yeyote kati ya uzao wake, lazima auawe. Watu wa nchi watampiga kwa mawe mpaka afe.
7 Ndipo Sulemani akajenga mahali pa juu+ kwa ajili ya Kemoshi,+ chukizo+ la Moabu juu ya mlima+ uliokuwa mbele+ ya Yerusalemu, na kwa ajili ya Moleki, chukizo la wana wa Amoni.
10 Naye akafanya Tofethi+ pasifae kwa ibada, mahali palipo katika bonde la wana wa Hinomu,+ ili yeyote asipitishe motoni mwana wake wala binti yake+ kwa Moleki.+
43 Bali mlichukua hema la Moloki+ na nyota+ ya mungu Refani, maumbo mliyoyafanya ili kuyaabudu. Kwa sababu hiyo nitawahamishia+ ninyi ng’ambo ya Babiloni.’