Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 18:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “‘Nawe usiuruhusu uzao wako wowote utolewe+ kwa Moleki.+ Usilitie unajisi+ jina la Mungu wako kwa njia hiyo. Mimi ni Yehova.+

  • Kumbukumbu la Torati 12:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Usimfanyie hivyo Yehova Mungu wako,+ kwa maana kila kitu kinachochukiza kwa Yehova, ambacho anachukia wameifanyia miungu yao, kwa maana hata wana wao na binti zao wao huwateketeza motoni kwa ukawaida kwa ajili ya miungu yao.+

  • 2 Wafalme 16:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Naye akaendelea kutembea katika njia ya wafalme wa Israeli,+ na hata akampitisha mwana wake mwenyewe katika moto,+ kulingana na machukizo+ ya mataifa ambayo Yehova aliyafukuza kwa sababu ya wana wa Israeli.

  • 2 Mambo ya Nyakati 28:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Naye akafukiza moshi wa dhabihu+ katika bonde la mwana wa Hinomu,+ akateketeza wanawe+ katika moto, kulingana na machukizo+ ya mataifa ambayo Yehova alikuwa ameyafukuza kutoka mbele ya wana wa Israeli.+

  • Zaburi 106:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Nao wakawa wakiwatoa dhabihu wana wao+

      Na binti zao kwa roho waovu.+

  • Yeremia 19:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Nao walijenga mahali pa juu pa Baali ili kuwateketeza wana wao motoni kama matoleo mazima ya kuteketezwa kwa Baali,+ jambo ambalo sikuliamuru wala kusema juu yake,+ na ambalo halikuingia moyoni mwangu.”’+

  • Yeremia 32:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Na zaidi ya hayo, walijenga mahali pa juu pa Baali+ palipo katika bonde la mwana wa Hinomu,+ ili kuwapitisha wana wao na binti zao motoni+ kwa Moleki,+ jambo ambalo sikuwaamuru,+ wala halikuingia moyoni mwangu kufanya chukizo hili,+ kwa kusudi la kufanya Yuda watende dhambi.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki