Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 17:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 nao wakaendelea kuwapitisha motoni+ wana wao na binti zao na kufanya uaguzi+ na kutafuta ishara za bahati,+ nao wakaendelea kujiuza+ ili kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova, ili kumtia uchungu;+

  • 2 Mambo ya Nyakati 28:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Naye akafukiza moshi wa dhabihu+ katika bonde la mwana wa Hinomu,+ akateketeza wanawe+ katika moto, kulingana na machukizo+ ya mataifa ambayo Yehova alikuwa ameyafukuza kutoka mbele ya wana wa Israeli.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 33:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Naye mwenyewe akawapitisha wanawe mwenyewe motoni+ katika bonde la mwana wa Hinomu,+ akafanya uchawi+ na kutumia uaguzi+ na kufanya ulozi+ na kufanyiza wenye kuwasiliana na pepo+ na wajuzi wa kubashiri+ matukio. Alifanya kwa kiasi kikubwa yale yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova, na kumtia uchungu.+

  • Zaburi 106:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Kwa hiyo wakaendelea kumwaga damu isiyo na hatia,+

      Damu ya wana wao na binti zao,

      Ambao waliwatoa dhabihu kwa sanamu za Kanaani;+

      Na nchi ikachafuliwa na umwagaji wa damu.+

  • Isaya 57:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 wale wanaojiwasha tamaa kati ya miti mikubwa,+ chini ya kila mti wenye majani mengi,+ wakiwaua watoto katika mabonde ya mito chini ya mipasuko ya miamba?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki