2 Mnapaswa kuangamiza kabisa+ mahali pote ambapo mataifa mnayoyafukuza yameitumikia miungu yao, juu ya milima mirefu na vilima na chini ya kila mti wenye majani mengi.+
23 Nao pia wakaendelea kujijengea mahali pa juu+ na nguzo takatifu+ na miti mitakatifu+ juu ya kila kilima kirefu+ na chini ya kila mti wenye majani mengi.+