26“‘Msijifanyie miungu isiyo na thamani,+ wala msijisimamishie sanamu ya kuchongwa+ au nguzo takatifu, wala msiweke jiwe kuwa sanamu katika+ nchi yenu ili kuliinamia;+ kwa maana mimi ni Yehova Mungu wenu.
2 Naye akaendelea kutenda yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova,+ ila tu si kama baba yake+ wala kama mama yake, bali aliondoa nguzo takatifu+ ya Baali ambayo baba yake alikuwa ametengeneza.+