2 Wafalme 3:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Akaendelea kutenda maovu machoni pa Yehova, lakini si kwa kadiri aliyotenda baba yake au mama yake, kwa maana aliondoa nguzo takatifu ya Baali ambayo baba yake alikuwa ametengeneza.+
2 Akaendelea kutenda maovu machoni pa Yehova, lakini si kwa kadiri aliyotenda baba yake au mama yake, kwa maana aliondoa nguzo takatifu ya Baali ambayo baba yake alikuwa ametengeneza.+