2 Mnapaswa kuangamiza kabisa+ mahali pote ambapo mataifa mnayoyafukuza yameitumikia miungu yao, juu ya milima mirefu na vilima na chini ya kila mti wenye majani mengi.+
4 Naye alitoa dhabihu kwa ukawaida+ na kufukiza moshi wa dhabihu katika mahali pa juu na juu+ ya vilima+ na chini ya kila namna ya mti wenye majani mengi.+
5 wale wanaojiwasha tamaa kati ya miti mikubwa,+ chini ya kila mti wenye majani mengi,+ wakiwaua watoto katika mabonde ya mito chini ya mipasuko ya miamba?+