Mambo ya Walawi 18:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 “‘Nawe usiuruhusu uzao wako wowote utolewe+ kwa Moleki.+ Usilitie unajisi+ jina la Mungu wako kwa njia hiyo. Mimi ni Yehova.+ Mambo ya Walawi 20:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na ikiwa watu wa nchi hiyo hawatamuua kwa kuyaficha macho yao kimakusudi yasimwone mtu huyo anapompa Moleki yeyote kati ya uzao wake,+
21 “‘Nawe usiuruhusu uzao wako wowote utolewe+ kwa Moleki.+ Usilitie unajisi+ jina la Mungu wako kwa njia hiyo. Mimi ni Yehova.+
4 Na ikiwa watu wa nchi hiyo hawatamuua kwa kuyaficha macho yao kimakusudi yasimwone mtu huyo anapompa Moleki yeyote kati ya uzao wake,+