Mambo ya Walawi 23:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 “‘Mnapovuna mashamba yenu, msivune kabisa ukingo wa mashamba yenu, nanyi msiokote masalio ya mavuno yenu.+ Waachieni maskini*+ na wageni.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu.’”
22 “‘Mnapovuna mashamba yenu, msivune kabisa ukingo wa mashamba yenu, nanyi msiokote masalio ya mavuno yenu.+ Waachieni maskini*+ na wageni.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu.’”