Mambo ya Walawi 19:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “‘Na mnapovuna mavuno ya nchi yenu, msivune kabisa ukingo wa shamba lenu, nayo masalio ya mavuno yenu msiyaokote.+ Mambo ya Walawi Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 19:9 w06 6/15 22-23; w03 12/1 17 Mambo ya Walawi Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 19:9 Mnara wa Mlinzi,6/15/2006, kur. 22-2312/1/2003, uku. 17
9 “‘Na mnapovuna mavuno ya nchi yenu, msivune kabisa ukingo wa shamba lenu, nayo masalio ya mavuno yenu msiyaokote.+