Zaburi 33:18, 19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Tazama! Jicho la Yehova linawalinda wale wanaomwogopa,+Wale wanaongojea upendo wake mshikamanifu,19 Ili awaokoe* kutoka katika kifoNa kuwahifadhi hai wakati wa njaa kali.+ Zaburi 37:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Nilikuwa kijana lakini sasa nimezeeka,Lakini sijamwona mtu yeyote mwadilifu akiwa ameachwa,+Wala watoto wake wakitafuta mkate.*+ Mathayo 6:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 “Basi, endeleeni kuutafuta kwanza Ufalme na uadilifu wake,* nanyi mtaongezewa hivi vitu vingine vyote.+
18 Tazama! Jicho la Yehova linawalinda wale wanaomwogopa,+Wale wanaongojea upendo wake mshikamanifu,19 Ili awaokoe* kutoka katika kifoNa kuwahifadhi hai wakati wa njaa kali.+
25 Nilikuwa kijana lakini sasa nimezeeka,Lakini sijamwona mtu yeyote mwadilifu akiwa ameachwa,+Wala watoto wake wakitafuta mkate.*+
33 “Basi, endeleeni kuutafuta kwanza Ufalme na uadilifu wake,* nanyi mtaongezewa hivi vitu vingine vyote.+