Luka 6:27, 28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 “Lakini ninawaambia ninyi mnaosikiliza: Endeleeni kuwapenda adui zenu na kuwatendea mema wale wanaowachukia,+ 28 kuwabariki wale wanaowalaani, na kusali kwa ajili ya wale wanaowatukana.+ Matendo 7:60 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 60 Kisha akapiga magoti, akasema kwa sauti kubwa: “Yehova,* usiwahesabie dhambi hii.”+ Na baada ya kusema hayo, akalala usingizi katika kifo. Waroma 12:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Endeleeni kuwabariki wale wanaowatesa;+ muwe mkibariki msiwe mkilaani.+
27 “Lakini ninawaambia ninyi mnaosikiliza: Endeleeni kuwapenda adui zenu na kuwatendea mema wale wanaowachukia,+ 28 kuwabariki wale wanaowalaani, na kusali kwa ajili ya wale wanaowatukana.+
60 Kisha akapiga magoti, akasema kwa sauti kubwa: “Yehova,* usiwahesabie dhambi hii.”+ Na baada ya kusema hayo, akalala usingizi katika kifo.