Zaburi 46:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu,+Msaada unaopatikana kwa urahisi nyakati za taabu.+ Zaburi 91:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nitamwambia Yehova: “Wewe ni kimbilio langu na ngome yangu,+Mungu wangu ninayemtumaini.”+ Methali 18:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Jina la Yehova ni mnara wenye nguvu.+ Mwadilifu hukimbilia humo na kupata ulinzi.*+ Isaya 25:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa maana umekuwa ngome kwa mtu wa hali ya chini,Ngome kwa maskini katika taabu yake,+Kimbilio kutokana na dhoruba ya mvua,Na kivuli wakati wa joto.+ Wakati mlipuko wa waonevu ni kama dhoruba ya mvua inayopiga ukuta,
4 Kwa maana umekuwa ngome kwa mtu wa hali ya chini,Ngome kwa maskini katika taabu yake,+Kimbilio kutokana na dhoruba ya mvua,Na kivuli wakati wa joto.+ Wakati mlipuko wa waonevu ni kama dhoruba ya mvua inayopiga ukuta,