Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 46:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 46 Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu,+

      Msaada unaopatikana kwa urahisi nyakati za taabu.+

  • Zaburi 91:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Nitamwambia Yehova: “Wewe ni kimbilio langu na ngome yangu,+

      Mungu wangu ninayemtumaini.”+

  • Methali 18:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Jina la Yehova ni mnara wenye nguvu.+

      Mwadilifu hukimbilia humo na kupata ulinzi.*+

  • Isaya 25:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Kwa maana umekuwa ngome kwa mtu wa hali ya chini,

      Ngome kwa maskini katika taabu yake,+

      Kimbilio kutokana na dhoruba ya mvua,

      Na kivuli wakati wa joto.+

      Wakati mlipuko wa waonevu ni kama dhoruba ya mvua inayopiga ukuta,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki