Kumbukumbu la Torati 4:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana ni taifa gani kubwa ambalo miungu yake iko karibu nalo kama Yehova Mungu wetu alivyo karibu nasi wakati wowote tunapomlilia?+ Zaburi 145:18, 19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Yehova yuko karibu na wote wanaomwitia,+Wote wanaomwitia yeye katika ukweli.*+ ר [Resh] 19 Hutosheleza tamaa ya wale wanaomwogopa;+Husikia kilio chao cha kuomba msaada, naye huwaokoa.+ Nahumu 1:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Yehova ni mwema,+ ni ngome katika siku ya taabu.+ Anawakazia fikira* wale wanaotafuta kimbilio kwake.+
7 Kwa maana ni taifa gani kubwa ambalo miungu yake iko karibu nalo kama Yehova Mungu wetu alivyo karibu nasi wakati wowote tunapomlilia?+
18 Yehova yuko karibu na wote wanaomwitia,+Wote wanaomwitia yeye katika ukweli.*+ ר [Resh] 19 Hutosheleza tamaa ya wale wanaomwogopa;+Husikia kilio chao cha kuomba msaada, naye huwaokoa.+
7 Yehova ni mwema,+ ni ngome katika siku ya taabu.+ Anawakazia fikira* wale wanaotafuta kimbilio kwake.+