Zaburi 37:39, 40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Wokovu wa watu waadilifu unatoka kwa Yehova;+Yeye ndiye ngome yao wakati wa taabu.+ 40 Yehova atawasaidia na kuwaokoa.+ Atawanusuru kutoka kwa waovu na kuwaokoa,Kwa sababu wanamkimbilia yeye.+ Zaburi 50:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Nililie wakati wa taabu.+ Nitakuokoa, nawe utanitukuza.”+
39 Wokovu wa watu waadilifu unatoka kwa Yehova;+Yeye ndiye ngome yao wakati wa taabu.+ 40 Yehova atawasaidia na kuwaokoa.+ Atawanusuru kutoka kwa waovu na kuwaokoa,Kwa sababu wanamkimbilia yeye.+