Zaburi 9:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Yehova atakuwa kimbilio salama* kwa wanaokandamizwa,+Kimbilio salama katika nyakati za taabu.+ Isaya 33:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ee Yehova, tuonyeshe kibali.+ Tunakutumaini wewe. Uwe mkono wetu*+ kila asubuhi,Naam, wokovu wetu wakati wa taabu.+
2 Ee Yehova, tuonyeshe kibali.+ Tunakutumaini wewe. Uwe mkono wetu*+ kila asubuhi,Naam, wokovu wetu wakati wa taabu.+