Zaburi 123:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kama macho ya watumishi yanavyoutazama mkono wa bwana wao,Na macho ya kijakazi yanavyoutazama mkono wa bimkubwa wake,Ndivyo macho yetu yanavyokutazama wewe, Ee Yehova Mungu wetu+Mpaka utakapotuonyesha kibali.+
2 Kama macho ya watumishi yanavyoutazama mkono wa bwana wao,Na macho ya kijakazi yanavyoutazama mkono wa bimkubwa wake,Ndivyo macho yetu yanavyokutazama wewe, Ee Yehova Mungu wetu+Mpaka utakapotuonyesha kibali.+