Zaburi 119:82 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 82 Macho yangu yanatamani sana neno lako+Huku nikisema: “Utanifariji lini?”+ Zaburi 130:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ninamngojea Yehova kwa hamu,+Kuliko walinzi wanavyoingojea asubuhi,+Naam, kuliko walinzi wanavyoingojea asubuhi.
6 Ninamngojea Yehova kwa hamu,+Kuliko walinzi wanavyoingojea asubuhi,+Naam, kuliko walinzi wanavyoingojea asubuhi.