Zaburi 34:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Yehova yuko karibu na wale waliovunjika moyo;+Huwaokoa waliopondeka roho.*+ Yakobo 4:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Mkaribieni Mungu, naye atawakaribia ninyi.+ Safisheni mikono yenu, ninyi watenda dhambi,+ na takaseni mioyo yenu,+ ninyi mnaositasita.
8 Mkaribieni Mungu, naye atawakaribia ninyi.+ Safisheni mikono yenu, ninyi watenda dhambi,+ na takaseni mioyo yenu,+ ninyi mnaositasita.