Zaburi 46:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu,+Msaada unaopatikana kwa urahisi nyakati za taabu.+ Nahumu 1:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Yehova ni mwema,+ ni ngome katika siku ya taabu.+ Anawakazia fikira* wale wanaotafuta kimbilio kwake.+ Sefania 3:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nitawaruhusu watu wanyenyekevu na wapole wabaki miongoni mwenu,+Nao watapata kimbilio katika jina la Yehova.
7 Yehova ni mwema,+ ni ngome katika siku ya taabu.+ Anawakazia fikira* wale wanaotafuta kimbilio kwake.+
12 Nitawaruhusu watu wanyenyekevu na wapole wabaki miongoni mwenu,+Nao watapata kimbilio katika jina la Yehova.