Zaburi 91:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 91 Yeyote anayekaa mahali pa siri pa Aliye Juu Zaidi+Ataishi katika kivuli cha Mweza-Yote.+ Zaburi 121:5-7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Yehova anakulinda. Yehova ni kivuli+ kwenye mkono wako wa kulia.+ 6 Mchana, jua halitakuchoma,+Wala mwezi usiku.+ 7 Yehova atakulinda dhidi ya madhara yote.+ Ataulinda uhai wako.*+ Isaya 49:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Hawatakuwa na njaa, wala hawatakuwa na kiu,+Wala joto kali wala jua halitawachoma.+ Kwa maana Yule anayewaonyesha rehema atawaongoza,+Naye atawaongoza kando ya chemchemi za maji.+
5 Yehova anakulinda. Yehova ni kivuli+ kwenye mkono wako wa kulia.+ 6 Mchana, jua halitakuchoma,+Wala mwezi usiku.+ 7 Yehova atakulinda dhidi ya madhara yote.+ Ataulinda uhai wako.*+
10 Hawatakuwa na njaa, wala hawatakuwa na kiu,+Wala joto kali wala jua halitawachoma.+ Kwa maana Yule anayewaonyesha rehema atawaongoza,+Naye atawaongoza kando ya chemchemi za maji.+