Isaya 32:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Na kila mmoja atakuwa kama mahali pa kujificha* kutokana na upepo,Na mahali pa kujisitiri* kutokana na dhoruba ya mvua,Kama vijito vya maji katika nchi isiyo na maji,+Kama kivuli cha jabali kubwa katika nchi iliyokauka.
2 Na kila mmoja atakuwa kama mahali pa kujificha* kutokana na upepo,Na mahali pa kujisitiri* kutokana na dhoruba ya mvua,Kama vijito vya maji katika nchi isiyo na maji,+Kama kivuli cha jabali kubwa katika nchi iliyokauka.