Isaya 48:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Yehova, Mkombozi wako, Mtakatifu wa Israeli,+ anasema hivi: “Mimi, Yehova, ni Mungu wako,Ninayekufundisha ili ujifaidi mwenyewe,*+Ninayekuongoza katika njia unayopaswa kutembea.+
17 Yehova, Mkombozi wako, Mtakatifu wa Israeli,+ anasema hivi: “Mimi, Yehova, ni Mungu wako,Ninayekufundisha ili ujifaidi mwenyewe,*+Ninayekuongoza katika njia unayopaswa kutembea.+