Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 8:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 basi usikie kutoka mbinguni na kuwasamehe watumishi wako dhambi yao, dhambi ya watu wako Waisraeli, kwa sababu utawafundisha+ njia nzuri wanayopaswa kufuata; na ulete mvua katika nchi yako+ ambayo uliwapa watu wako kuwa urithi.

  • Zaburi 25:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Yehova ni mwema na mnyoofu.+

      Ndiyo sababu yeye huwafundisha watenda dhambi njia wanayopaswa kuishi.+

  • Isaya 54:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na wana* wako wote watafundishwa na Yehova,+

      Na amani ya wana* wako itakuwa nyingi.+

  • Mika 4:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Na mataifa mengi yataenda na kusema:

      “Njooni, twendeni juu kwenye mlima wa Yehova

      Na kwenye nyumba ya Mungu wa Yakobo.+

      Naye atatufundisha njia zake,

      Nasi tutatembea katika vijia vyake.”

      Kwa maana sheria itatoka* Sayuni,

      Na neno la Yehova litatoka Yerusalemu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki