Isaya 43:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Yehova, Mkombozi wenu,+ Mtakatifu wa Israeli,+ anasema hivi: “Nitatuma ujumbe huko Babiloni kwa ajili yenu na kuyashusha makomeo yote ya malango,+Na Wakaldayo, katika meli zao, watalia kwa sababu ya mateso.+ Isaya 44:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Yehova, Mfalme wa Israeli+ na Mkombozi wake,+Yehova wa majeshi, anasema hivi: ‘Mimi ndiye wa kwanza na mimi ndiye wa mwisho.+ Hakuna Mungu ila mimi.+ Isaya 54:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “Kwa maana Muumba*+ wako Mkuu ni kama mume* wako,+Yehova wa majeshi ndilo jina lake,Na Mtakatifu wa Israeli ni Mkombozi wako.+ Ataitwa Mungu wa dunia yote.+
14 Yehova, Mkombozi wenu,+ Mtakatifu wa Israeli,+ anasema hivi: “Nitatuma ujumbe huko Babiloni kwa ajili yenu na kuyashusha makomeo yote ya malango,+Na Wakaldayo, katika meli zao, watalia kwa sababu ya mateso.+
6 Yehova, Mfalme wa Israeli+ na Mkombozi wake,+Yehova wa majeshi, anasema hivi: ‘Mimi ndiye wa kwanza na mimi ndiye wa mwisho.+ Hakuna Mungu ila mimi.+
5 “Kwa maana Muumba*+ wako Mkuu ni kama mume* wako,+Yehova wa majeshi ndilo jina lake,Na Mtakatifu wa Israeli ni Mkombozi wako.+ Ataitwa Mungu wa dunia yote.+