Kumbukumbu la Torati 4:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Ninyi wenyewe mmeonyeshwa mambo hayo ili mjue kwamba Yehova ndiye Mungu wa kweli;+ hakuna mwingine isipokuwa yeye.+ Kumbukumbu la Torati 4:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Kwa hiyo, siku ya leo, mjue na kutia moyoni kwamba Yehova ndiye Mungu wa kweli juu mbinguni na chini duniani.+ Hakuna mwingine.+ Isaya 43:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “Ninyi ni mashahidi wangu,”+ asema Yehova,“Naam, mtumishi wangu ambaye nimemchagua,+Ili mjue na kuwa na imani kwangu*Na mwelewe kwamba mimi ni yuleyule.+ Kabla yangu hakuna Mungu aliyefanyizwa,Na baada yangu hakutakuwa na mwingine.+
35 Ninyi wenyewe mmeonyeshwa mambo hayo ili mjue kwamba Yehova ndiye Mungu wa kweli;+ hakuna mwingine isipokuwa yeye.+
39 Kwa hiyo, siku ya leo, mjue na kutia moyoni kwamba Yehova ndiye Mungu wa kweli juu mbinguni na chini duniani.+ Hakuna mwingine.+
10 “Ninyi ni mashahidi wangu,”+ asema Yehova,“Naam, mtumishi wangu ambaye nimemchagua,+Ili mjue na kuwa na imani kwangu*Na mwelewe kwamba mimi ni yuleyule.+ Kabla yangu hakuna Mungu aliyefanyizwa,Na baada yangu hakutakuwa na mwingine.+