Kutoka 6:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Kwa hiyo, waambie Waisraeli: ‘Mimi ni Yehova, nami nitawatoa kutoka chini ya mizigo ya Wamisri na kuwaokoa kutoka katika utumwa wao,+ nami nitawakomboa kwa mkono ulionyooshwa* na kwa hukumu kubwa.+ Yeremia 50:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Lakini Mkombozi wao ana nguvu.+ Yehova wa majeshi ndilo jina lake.+ Bila shaka atatetea kesi yao,+Ili kuipumzisha nchi+Na kuwafadhaisha wakaaji wa Babiloni.”+
6 “Kwa hiyo, waambie Waisraeli: ‘Mimi ni Yehova, nami nitawatoa kutoka chini ya mizigo ya Wamisri na kuwaokoa kutoka katika utumwa wao,+ nami nitawakomboa kwa mkono ulionyooshwa* na kwa hukumu kubwa.+
34 Lakini Mkombozi wao ana nguvu.+ Yehova wa majeshi ndilo jina lake.+ Bila shaka atatetea kesi yao,+Ili kuipumzisha nchi+Na kuwafadhaisha wakaaji wa Babiloni.”+