-
Isaya 30:20, 21Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
20 Ingawa Yehova atawapa taabu kama mkate na ukandamizaji kama maji,+ Mfundishaji wako Mkuu hatajificha tena, nawe utamwona Mfundishaji wako Mkuu+ kwa macho yako mwenyewe. 21 Na masikio yako mwenyewe yatasikia neno nyuma yako likisema, “Hii ndiyo njia.+ Tembeeni ndani yake,” ikiwa mtaenda upande wa kulia au mtaenda upande wa kushoto.+
-