Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 32:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 “Nitakupa ufahamu na kukufundisha njia unayopaswa kufuata.+

      Nitakupa ushauri jicho langu likikutazama.+

  • Isaya 30:20, 21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Ingawa Yehova atawapa taabu kama mkate na ukandamizaji kama maji,+ Mfundishaji wako Mkuu hatajificha tena, nawe utamwona Mfundishaji wako Mkuu+ kwa macho yako mwenyewe. 21 Na masikio yako mwenyewe yatasikia neno nyuma yako likisema, “Hii ndiyo njia.+ Tembeeni ndani yake,” ikiwa mtaenda upande wa kulia au mtaenda upande wa kushoto.+

  • Isaya 49:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Hawatakuwa na njaa, wala hawatakuwa na kiu,+

      Wala joto kali wala jua halitawachoma.+

      Kwa maana Yule anayewaonyesha rehema atawaongoza,+

      Naye atawaongoza kando ya chemchemi za maji.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki