Zaburi 25:8, 9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Yehova ni mwema na mnyoofu.+ Ndiyo sababu yeye huwafundisha watenda dhambi njia wanayopaswa kuishi.+ י [Yod] 9 Atawaongoza wapole katika yaliyo sawa,*+Naye atawafundisha wapole njia yake.+
8 Yehova ni mwema na mnyoofu.+ Ndiyo sababu yeye huwafundisha watenda dhambi njia wanayopaswa kuishi.+ י [Yod] 9 Atawaongoza wapole katika yaliyo sawa,*+Naye atawafundisha wapole njia yake.+