Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 65:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Mitaro yake inajazwa maji, madonge yake yanasawazishwa;+

      Unailainisha kwa manyunyu mengi; unaibariki mimea yake.+

  • Zaburi 147:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Yeye anayezifunika mbingu kwa mawingu,+

      Yeye anayetayarisha mvua kwa ajili ya dunia,+

      Yeye anayefanya milima ichipushe majani mabichi.+

  • Yeremia 5:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Lakini hawakusema moyoni mwao: “Sasa, na tumwogope Yehova Mungu wetu,+ Yeye anayenyesha mvua kubwa na mvua ya vuli na mvua ya masika katika majira yake,+ Yeye anayetulindia majuma yaliyoamriwa ya mavuno.”+

  • Mathayo 5:45
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 45 ili mpate kuwa wana wa Baba yenu aliye mbinguni,+ kwa kuwa yeye hulichomoza jua lake juu ya watu waovu na wema na hunyesha mvua juu ya watu waadilifu na wasio waadilifu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki