Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 38:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Ili kushibisha maeneo yenye kupigwa na dhoruba na yenye ukiwa

      Na kusababisha majani kuchipuka?+

  • Zaburi 104:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Anafanya majani mabichi yachipuke kwa ajili ya wanyama,+

      Na mimea ili itumikie wanadamu,+

      Ili chakula kitokezwe duniani,+

  • Isaya 30:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Naye hakika ataleta mvua kwa ajili ya mbegu yako unayoipanda katika udongo,+ na mkate kuwa mazao ya udongo, ambao utakuwa mnono na wenye mafuta.+ Mifugo yako italisha katika siku hiyo katika malisho mapana.+

  • Zekaria 10:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “Mwombeni Yehova mvua+ wakati wa mvua ya masika,+ Yehova anayefanya mawingu ya dhoruba,+ ambaye huwapa mvua kubwa,+ na kumpa kila mmoja mimea shambani.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki