2 Samweli 23:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Basi ni kama nuru ya asubuhi, jua linapoangaza,Asubuhi isiyo na mawingu.+Kutokana na mwangaza, kutokana na mvua, majani hutoka katika nchi.’+ Zaburi 147:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Yeye anayezifunika mbingu kwa mawingu,+Yeye anayetayarisha mvua kwa ajili ya dunia,+Yeye anayefanya milima ichipushe majani mabichi.+ Waebrania 6:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa mfano, udongo unaokunywa mvua ambayo huja mara nyingi juu yake, na kisha unazaa mimea inayofaa kwa wale ambao huo hulimwa kwa ajili yao,+ hupokea malipo ya baraka kutoka kwa Mungu.
4 Basi ni kama nuru ya asubuhi, jua linapoangaza,Asubuhi isiyo na mawingu.+Kutokana na mwangaza, kutokana na mvua, majani hutoka katika nchi.’+
8 Yeye anayezifunika mbingu kwa mawingu,+Yeye anayetayarisha mvua kwa ajili ya dunia,+Yeye anayefanya milima ichipushe majani mabichi.+
7 Kwa mfano, udongo unaokunywa mvua ambayo huja mara nyingi juu yake, na kisha unazaa mimea inayofaa kwa wale ambao huo hulimwa kwa ajili yao,+ hupokea malipo ya baraka kutoka kwa Mungu.