2 Na kwenu ninyi mnaoliogopa jina langu, jua la uadilifu litaangaza,+ likiwa na kiponyaji katika mabawa yake;+ nanyi mtatoka nje na kuukanyaga udongo kama ndama waliononeshwa.”+
16 Na katika mkono wake wa kuume kulikuwa na nyota saba,+ na kutoka katika kinywa chake upanga mkali, mrefu na wenye makali kuwili+ ulikuwa umechomoka, na sura yake ilikuwa kama jua linapoangaza katika nguvu zake.+