Zaburi 147:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Anawaponya+ wenye mioyo iliyovunjika,+Naye anafunga sehemu zao zenye maumivu.+ Yeremia 30:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “Kwa maana nitakurudishia afya, nami nitakuponya mapigo yako,”+ asema Yehova. “Kwa maana walikuita mwanamke aliyefukuzwa:+ ‘Huyo ni Sayuni, ambaye hakuna yeyote anayemtafuta.’”+ Yeremia 33:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 ‘Tazama, ninamletea yeye nguvu na afya;+ nami nitawaponya na kuwafunulia wingi wa amani na kweli.+
17 “Kwa maana nitakurudishia afya, nami nitakuponya mapigo yako,”+ asema Yehova. “Kwa maana walikuita mwanamke aliyefukuzwa:+ ‘Huyo ni Sayuni, ambaye hakuna yeyote anayemtafuta.’”+